RAIS KAGAME KUWASILI NCHINI KESHOKUTWA


Rais wa Rwanda Paul Kagame anatarajia kuwasili hapa nchini kwa ajili ya ziara ya kikazi.
Kwa mjibu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe.Paul Makonda Mhe.Paul Kagame anayetarajiwa kuwasili nchini Jumapili ya wiki hii.
Makonda amesema hayo leo akiwa katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam baada ya kuagana na Rais Magufuli aliyeelekea visiwani Zanzibar kushiriki sherehe za maadhimisho ya Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mbali na hilo Makonda amesema kuwa Rais Paul Kagame atawasili nchini Tanzania siku ya Jumapili ya tarehe 14 ambapo atakuwa nchini kwa ziara ya siku moja na kufanya mazungumzo na Rais John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam.
Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA