MWENYEKITI WA BAVICHA TAIFA ZIARANI KATAVI ATOA NENO

Mwenyekiti wa Taifa  balaza la wanawake la Chama cha Democrasia na Maendeleo Chadema  Ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kawe Halima Mdee amezitaka taasisi za ndani ya chama hicho kuwajibika vyema katika kukijenga chama hicho.

Akizungumza na wanawake wa chama hicho pamoja na vijana katika shule ya sekondari ya Mtakatifu Maria  manispaa ya Mpanda  amesema  Taasisi hizo kwa kushilikiana na vijana vinamchango mkubwa katika kukijenga chama hicho Hapa nchini

Kwa upande wake mbunge wa viti maalumu wa chama hicho katika Mkoa wa Katavi Rhoda Kunchela amesema kunavikundi mbalimbali vya akina ambavyo vimeanza kunufaika.

Ziara hiyo ya mwenyekiti wa Bawacha Taifa inalengo la  kukagua uhai wa jumuia hiyo na chama kwa ujumla katika mikoa ya Rukwa Tabora na  Katavi  ugeni huo umeambatana na katibu mkuu wa balaza la wanawake la chama hicho Taifa Grace Tendega.


Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA