RAIS MAGUFULI AKUTANA NA MASENETA WA MAREKANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amekutana na Seneta James Inhofe pamoja na Maseneta wengine wa Baraza la Marekani Ikulu jijini Dar es salaam.

Rais Magufuli ameupokea ugeni huo na kufanya nao mazungumzo mbalimbali ndani ya Ikulu. Hata hivyo bado taarifa rasmi za nini haswa wameongea viongozi hao baada ya kukutana hazijatoka.
Pia leo Rais Dkt. John Pombe Magufuli amempokea kiongozi wa Jumuiya ya Ismailia H.H.Prince Karim al-Hussayni Aga Khan alipotembelea Ikulu na kuteta mambo na mheshimiwa Rais.
Aidha Rais Dkt. Magufuli amepokea kitabu cha Seneta James Inhofe kilichoonyesha picha za maeneo mbalimbali ya Tanzania alipotembelea mwaka mmoja na nusu uliopita.

Habari zaidi ni www.p5tanzania.blohspot.com au ukurasa P5Tanzania Limited

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA