MATUKIO 6 MAKUU YALIYOTOKEA KATAVI WIKI HILI LA TATU KATIKA SISA MGOMBEA UBUNGE CUF MPANDA ASHINDWA KUREJESHA FOMU,AFISA UCHAGUZI ALONGA

NA. Meshack Ngumba-MPANDA
Chama cha Wananchi Cuf Kimeshindwa Kurejesha fomu ya Mgombea wa Ubunge Kupitia chama hicho Katika Jimbo la Mpanda Mjini Katika ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi manispaa ya Mpanda.

Akizungumza kwa Njia ya Simu na Kituo hiki Afisa Uchaguzi Katika Manispaa ya Mpanda bwana Clavery Reginald amesema hadi Kufikia Muda wa Kufunga zoezi la Urejeshwaji wa fomu za wagombea ni Vyama vinne tu  Vilivyorejesha fomu za Wagombea wao ndani ya Muda uliopangwa.
Kwa Mjibu wa ratiba ya tume ya taifa ya Uchaguzi Kesho Augost 22 Mwaka huu Vyama vyote vya siasa vinaruhusiwa Kuanza kampeni za Kuwanadi wagombea wao Kuanzia Ngazi ya Madiwani,wabunge na Rais.


Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA