MATUKIO 6 MAKUU YALIYOTOKEA KATAVI WIKI HILI LA TANO- 20,162 KATI YA 22,596 WAJIANDIKISHA MAKAZI MAPYA KATUMBA

Wakazi wa makazi mapya ya Katumba wakijandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura
Na.Agness Mnubi NSIMBO.
WANANCHI 20,162 kati ya 22,596 sawa na asilimia 89 ya wakazi wapya, Wilayani Nsimbo Mkoani Katavi wamejiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura.

Takwimu hizo zimetolewa Jumanne ya wiki hii na na Afisa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bw. Hamis Mnubi wakati akizungumza na P5 TANZANIA.
Bw. Mnubi amefafanua sababu ya kutofikia lengo la uandikishaji kuwa baadhi ya wananchi wa makazi mapya walijiandika kwenye  kata zilizohusika katika zoezi la awali.

Zoezi hili limezihusisha kata za Katumba, Kanoge, na baadhi ya vijiji vya kata za Mtapenda na Litapunga.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA