MATUKIO 6 MAKUU YALIYOTOKEA KATAVI WIKI HILI LA KWANZA-MWANAMKE AKATWA PUA,ACHANWA SIKIO MMEWE AKATAA KUELEZA SABABU

Na.Issack Gerald-MPANDA.
Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Magdarena Joseph Mkazi wa Mwamkulu Senatalumbanga Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi amekatwa pua na kuchanwa sikio na mme wake Lukona Machimba,Kutokana na ugomvi wa kifamilia.

Akizungumza na P5 TANZANIA Jumatano ya wiki hii,Bi. Magdalena amesema chanzo cha ugomvi  ni ukosefu wa usafiri mara baada ya kulala Mjini  Mpanda.
P5 TANZANIA imezungumza na Bw. Lukona ambaye ni  mme wa Mwanamke huyo, kwa njia ya simu juu ya tukio hilo ambapo hakuonesha ushirikiano na kudai  ana shughuli.
Kwa upande wake Afisa Mtendaji wa kijiji hicho Bw. Harun Festo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo amietaka jamii kuacha vitendo vya kujichukilia sheria mkononi, pamoja na vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia.


Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA