JESHI LA POLISI LAWAZUIA ACT-WAZALENDO KUFANYA MIKUTANO



Jeshi la Polisi wilayani Mvomero Mkoani Morogoro limekitaka chama cha ACT Wazalendo wilayani humo kusitisha kufanya mikutano ya ndani.
Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa Polisi wa wilaya hiyo SSP Julius Lukindo
Katika barua ambayo imeandikwa na kusainiwa na  Lukindo inaeleza kuwa Jeshi la Polisi kwa sasa linashughulikia kesi nyingi za kisiasa hivyo ACT Wazalendo wanashauriwa kufanya mikutano hiyo siku za baadaye.
Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED 

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA