ZIMAMOTO NA UOKOAJI MKOANI KATAVI NA MIKAKATI YA KUFIKIA WILAYA ZOTE ZA MKOA
Jeshi
la zimamoto mkoani katavi limesema limejipanga vyema kuboresha huduma za jeshi
hilo kwa mwaka wa 2018 ili kuweza kuzifikia wilaya zote za Mkoa wa Katavi.

Katika
hatua nyingine kamanda Maundu amesema jeshi la zimamoto mkoani katavi
litaendelea kutoa elimu kwa wananchi na kufanya ukaguzi katika maeneo
mbalimbali ili kuweza kuwaepusha wananchi na majanga ya moto
Aidha
kamanda Maundu amesema katika sikukuu za Christmas na mwaka mpya hakukuwa na
matukio ya kutishia uhai na kuwataka wananchi kuchukua tahadhari za kujikinga
na majanga mbalimbali katika sehemu wanakoishi
Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED
Comments