BREAKING NEWS: DAR ES SALAAM JENGO LA WIZARA YA MAMBO YA NDANI MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI TANZANIA LANUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO


Na.Issack Gerald-Dar es Salaam
Jengo la Wizara ya mambo ya ndani makao makuu ya jeshi la Polisi,limenusulika kuteketea kwa moto na kusababisha kazi za jeshi hilo kusimama kwa muda,kutokana na wafanyakazi na viongozi wa jeshi hilo kutoka nje ya jengo kufuatia ya tahadhari ya moto kutolewa.
                                              
Msemaji wa jeshi la Polisi Tanzania Advera Bulimba

Msemaji wa Jeshi la Polisi, Mratibu Mwandamizi wa Polisi, Tanzania Advera Bulimba,amesema kuwa cheche za moto zilianza kuonekana Ghorofa ya nne,ambapo hata hivyo moto huo umedhibitiwa na kikosi jeshi la uokozi na zimamoto.
                         

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA