CWT MPANDA YAKANUSHA KUWEPO MGOMO WA WALIMU JUMATATU AGOSTI 30

Na.Issack Gerald- MPANDA
CHAMA  cha Walimu CWT Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi Kimekanusha taarifa za Kuwepo kwa Mgomo wa Walimu siku ya Jumatatu wa Kuishinikiza serikali kuwalipa  Madai yao.
Akingumza jana na P5 TANZANIA Mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Mpanda bwana Jumanne Msomba amesema Ofisi yake haina taarifa za Mgomo huo na kuwataka walimu kusubiri tamko la Rais wa Chama cha Walimu taifa.

Wakati   taarifa za kuwepo kwa  Mgomo wa walimu Wilayani Mpanda zikikanushwa  Kesho  Viongozi wa Chama cha Walimu taifa wanatarajia Kukutana na Viongozi wa Serikali ili kutafuta suluhisho la Madai hayo.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA