BALAZA LA MADIWANI MPANDA MJI LAMALIZA MUDA WAKE,KAMATI YA UKIMWI YAONGOZA MAPAMBANO YA UKIMWI




Na.Alinanuswe Edward-Mpanda Katavi
BARAZA La Madiwani Katika halmashauri ya Mji wa Mpanda jana limemaliza Muda wake wa Kipindi cha Miaka mitano ya kuwa madarakani.
Katika kikao hicho Madiwani wawakilisha wa kamati mbalimbali wamewasilisha taarifa zao  ambapo Kamati ya Kupambana na Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ilyoko chini ya mwenyekiti Yusuphu Ngasa imefanya Vizuri katika Kutoa elimu ya Kijikinga na Maambukizi ya Ukimwi.

Katika hatua nyingine mwenyekiti wa Kikao hicho ambaye  Pia ni Mwenyekiti wa halmashauri ya Mji wa Mpanda iliyopanda hadhi ya nakuwa manispaa ya Mpanda Enock Gwambasa amesema Mji wa Mpanda kuwa na Hadhi ya Manispaa itasaidia kuwepo kwa Ushindani na Kuchochea uwajibikaji katika Idara zake  utakaoleta Maendeleo kwa wananchi wake.

Kikao hiki cha mwisho ni Mkutano wa Robo ya nne ya mwaka wa Fedha wa 2014/2015.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA