RAIS MAGUFULI ATUMA SALAAMU ZA RAMBIRAMBI KIFO CHA ASKOFU

Mhashamu Askofu
Castory Msemwa amefariki dunia Mjini Muscat akiwa safarini kuelekea nchini
India kwa Matibabu.
Mhe. Rais
Magufuli amemuomba Rais wa TEC Mhashamu Tercisius Ngalalekumtwa kumfikishia
pole nyingi kwa Maaskofu wote wa TEC, Mapadre, Makatekista na waumini wote wa
Jimbo Katoliki la Tunduru Masasi kwa msiba huu mkubwa uliotokea na amesema
anaungana nao katika kipindi cha majonzi na maombi kwa Marehemu.
Comments