MKUU WA WILAYA YA MLELE AJITAMBULISHA KWA WATUMISHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE



MKUU wa wilaya ya mlele mkoani Katavi Bi.Recho Kasanda ametoa agizo kwa watumishi wa wilaya hiyo kufanya kazi wa kuzingatia taratibu na sheria.

Kasanda ametoa agizo hilo akiwa katika kikao  cha utambulisho kwa  watumishi wa ofisi ya mkuu wa wilaya na Halmashauri ya Wilaya ya  Mlele,shughuli iliyofanyika katika ukumbi wa    shule ya sekondari  Inyonga.
Sambamba na hilo amewataka pia  watumishi kusafirisha nyaraka za serikali kwa njia sahihi,ili kuhakikisha usalama wa nyaraka husika na utunzaji wa siri wa serikali kwa mujibu wa kanuni na taratibu za kiutumishi.
Mwandishi:Ester Lameck
Mhariri: Issack Gerald Bathromeo
Endelea kuhabarika na P5TANZANIA.BLOGSPOT.COM

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA