BODABODA KATAVI WAOMBA ELIMU YA UDEREVA NA MTAMBO KWA KUKATA LESENI



WAENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda mkoani Katavi,wameiomba serikali kuwapatia elimu ya udereva  pamoja na kupatiwa  mtambo wa kukata reseni za udereva ili kupunguza ajali za barabarani .

Kauli hiyo imetolewa na mwanyekiti wa chama cha waendesha bodaboda Stephano Mwakabafu alipokuwa akizungumzia mafanikio ya kuanzishwa kwa chama hicho ambacho kimesaidia  kupunguza ajari za barabarani.
Kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya usalama barabarani mkoani katavi  Nasoro Alfi,amewataka wananchi kuonyesha ushirikiano baina yao na madereva na kutoliachia suala la usalama jeshi la polisi peke yake.
Aidha amewaasa vijana wa stendi  kufanya kazi eneo walilopangiwa na endapo watabainika kukutwa eneo ambalo hawajasajiliwa  hatua za kisheria zitachukuliwa.
Mwandishi:Ester Lameck
Mhariri: Issack Gerald Bathromeo
Endelea kuhabarika na P5TANZANIA.BLOGSPOT.COM

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA