SERIKALI YASHAULIWA KUWEKA ULINZI VITUO VYA AFYA


NA.Issack Gerald-MPANDA.
SERIKALI imeshauriwa kuweka ulinzi wa uhakika katika vituo vya afya   hasa katika  maeneo ya vijijini sambamba na kujenga nyumba za watumishi wanaotoa huduma katika Vituo hivyo.

Ushauri huo umetolewa na wauguzi katika zahanati ya sibwesa ikiwa ni wiki tatu zimepita baada ya tukio la mwenyekiti wa serikali ya Kijiji hicho kumpiga Mganga wa Kituo hicho kwa madai ya Kumtolea lugha chafu Mgonjwa aliyefika katika zahati hiyo Kupata Matibu.
Kufuatia tukio hilo Uongozi wa hospitali ya Wilaya ya Mpanda ulilazimika Kufunga kituo hicho ili kupisha uchunguzi wa chanzo cha Ugomvi huo ambapo hata hivyo kituo hicho kimefunguliwa kuendelea na utoaji wa huduma.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA