WAZIRI AAGIZA WALIONYANG’ANYWA PIKIPIKI NA POLISI KURUDISHIWA
WAZIRI wa Mambo ya Ndani,Dkt.Mwigulu Nchemba amelitaka jeshi la
polisi nchini kuziachia pikipiki ambazo wamezishikilia kwa mda mrefu na zina
makosa madogo.
Dkt.Nchema amesema waziachie na wasikae nazo kwa mda mrefu mpaka
zikawa vyuma chakavu.

Alisema ipo haja ya vijana sasa kufundishwa zaidi kuhusu sheria
ya usalama barabarani ili kupunguza ajali ya pikipiki na mlundikano wa pikipiki
katika vituo vya polisi nchini kwani kila napopita vituo vya polisi hukuta
pikipiki ni nyingi na makosa yao ni madogomadogo.
Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED
Comments