TANESCO SUMBAWANGA YAPOKEA JENERETA YA KUZALISHA UMEME



KITUO cha kufua umeme mkoani Rukwa kimepata jenereta  ya
kufua umeme yenye uwezo  wakuzalisha Megawati 10.
Akizungumzia ujio wa jenereta hiyo,Meneja wa TANESCO Mkoani Rukwa Bw.Herini Muhina,amesema hali ya uzalishaji umeme itakuwa hivyo bora zaidi na kufanya upatikanaji wa umeme katika wilaya za Sumbawanga Kalambo,Nkasi kuwa bora zaidi pia katika maeneo ya Laela.
Kiasi hicho cha Megawati 10 zitakazozalishwa zinaelezwa kuwa zitaimarisha uzalishaji wa umeme mkoani Rukwa.

Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA