WAHAMIAJI HARAMU WILAYANI MLELE MKOANI KATAVI KUANZA KUSAKWA-Agosti 2,2017

Mkuu wa wilaya ya mlele mkoani Katavi Rahel Kasanda amewaagiza watendaji wa idara mbalimbali kataka Halmashauri hiyo kushirikiana vema na wananchi katika kuwabaini wahamiaji haramu wanaoingia katika wilaya hiyo. 

Hayo yamebainishwa jana na mkuu huyo wa wilaya wakati akihutubia mkutano wa nne wa baraza la madiwan katika shule ya sekondar inyonga.

Amesema wilaya ya mlele ni lango la kupita kila mtu hivyo ni vyema viongozi pamoja na wananchi kushirikiana kutoa taarfa katika  vyombo vya ulinz na usalama pindi wanapo kuwa na mashaka na mtu .


Habarika na P5TANZANIA.BLOGSPOT.COM

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA