USHIRIKIANO KATI YA RAIA NA POLISI WAPUNGUZA UHARIFU WILAYA YA MLELE


Na.Issack Gerald- Mlele
Mafanikio ya kupungua kwa uharifu katika kata zilizopo Wilayani Mlele Mkoani Katavi kumetokana na ushirikiano kati ya Jeshi la Polisi na  jamii inayoishi katika kata hizo.

Hayo yamebainishwa na mmoja wa waelimishaji wa elimu ya Polisi jamii katika tarafa ya Mamba kata ya Majimoto Bw.Koplo John Simba wakati akizungumza na Mpanda Radio kuhusu namna jamii inavyoshirikiana na jeshi la polisi kupambana na uharifu.
Tarafa ya Mamba ni miongoni mwa tarafa ambazo zimekuwa zikikumbwa na uharifu wa aina mbalimbali ukiwemo mauaji ya wanawake.


Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA