RAIS MAGUFULI LEO APRILI 13,2018 KUWAVALISHA VYEO MAOFISA WA JWTZ AKIWEMO MKUU WA WILAYA YA BUHIGWE ANAYEREJESHWA JESHINI


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli leo Aprili 13,2018 anatarajia kuwavalishwa vyeo maofisa mbalimbali wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ)  ambao amewapandisha vyeo jana Aprili 12,2018.
Kati ya maofisa hao yumo Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma Kanali M E Gaguti ambaye sasa anapanda cheo na kuwa Brigedia Jenelari na kurejeshwa Jeshini.
Kwa mjibu wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania,Jenelari Venancy Mabeyo amesema maofisa walioteuliwa wanakwenda kuimarisha safu za utendaji kazi kijeshi.
ORODHA YA WALIOPANDISHWA VYEO
1.Meja Jenerali Peter Massao aliyepandishwa kuwa Luteni Jenarali.
2.Brigedia Jenerali Henry Kamunde aliyepandishwa na kuwa meja jenerali.
3.D.D.M Mullugu
4.J.J Mwaseba
5.A.S Mwamy
6.R.K Kapinda
7.C.D Katenga
8.Z.S Kiwenge
9.M.A Mgambo
10.A.M Alphonce
11.A.P Mutta
12.A.V Chakila
13.M.G Mhagama
14.V.M Kisiri
15.C.E Msolla
16.S.M Mzee
17. C.J Ndiege
18.I.M Mhona
19.R.C Ng’umbi
20.S.J Mnkande
21.A.C Sibuti
22.M.M Mumanga
23.I.S Ismail
24.M.N Mkeremy
25.G.S Mhidze
26.M.A Machanga
27.S.B Gwaya
28.P.K Simuli
29.M.E Gaguti.
30.Luteni Kanali D.P.M Murunga amepandishwa kuwa kanali na kuwa mpambe wa Rais akichukua nafasi ya Kanali Mkeremy
Habari zaidi ni www.p5tanzania.blogspot.com

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA