JUMAMOSI KUU

Tarehe yake
inabadilikabadilika kila mwaka na hata mwaka uleule ni tofauti katika madhehebu ya Ukristo,
hasa yanayofuata mapokeo ya mashariki na yale yanayofuata mapokeo
ya magharibi.
Siku
hiyo Misa na sakramenti mbalimbali
haziadhimishwi kwa kuwa wafuasi wa Yesu wanatulia kimya wakitafakari
matukio ya Ijumaa kuu na kujiandaa washangilie ufufukowake
kuanzia kesha la
Pasaka hadi Jumapili ya Pentekoste siku 50 baadaye.
Habari zaidi ni www.p5tanzania.blogspot.com
Comments