NAMNA WAZIRI MKUU WA TANZANIA KASSIM MAJALIWA ALIVYOWASILI NA KUPOKELEWA MKOANI KATAVI
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alivyowasili Mkoani Katavi
![]() |
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akishuka katika ndege na akiwapungia mkono wananchi waliojitokeza kumpokea uwanja wa wa ndege Mpanda (PICHA NA .Issack Gerald) Agosti 20,2016 |
![]() |
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongozana na Vijana baada ya kupokelewa uwanja wa ndege(PICHA NA.Issack Gerald)Agosti 20,2016 |
![]() |
Waziri Mkuu wa Tanzania Mh.Kassim Majliwa akisalimiana na wa wananchi waliojitokeza kumpokea (PICHA NA.Issack Gerald)Agosti 20,2016 |
![]() |
Waziri Mkuu wa Tanzania Mh.Kassim Majliwa akisalimiana na wa wananchi waliojitokeza kumpokea (PICHA NA.Issack Gerald)Agosti 20,2016 |
Comments