UKAWA WAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI



Na. mwandishi wetu DAR ES SALAAM.
MGOMBEA Uraisi kupitia umoja wa Katiba ya wananchi Ukawa Mh: Edward Lowasa amesema endapo atapewa ridhaa ya kuongoza nchi ataipa kipaumbele elimu, Pamoja na afya.

Mh.Lowassa ameyasema hayo jijini Dar es salaamu katika viwanja vya Jangwani  wakati wa uzinduzi  rasmi wa kampeni ndani ya muunganiko wa vyama vinavyo unda umoja wa Ukawa ambavyo ni Chama cha Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD.
Edward Lowassa

Aidha Lowasa amesema elimu itapewa kipaumbele ambapo itatolewa bure kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuu, na kwamba ili kufikia ufanisi wa haya ni lazima kuwe na umoja wa kiutendaji..


Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA