Posts

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI,WAMO WAWILI WA VYUO VIKUU,MWENYEKITI WA KAMPUNI YA KUHIFADHI MAFUTA,MWENYEKITI WA BARAZA LA USHINDANI -Agosti 18,2017

Image
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jonh Pombe Magufuli,amefanya uteuzi wa viongozi mbali mbali akiwemo Mkuu wa chuo kikuu cha Ardhi.

MADAKTARI BINGWA KUTOKA DAE SES SALAAM WATOWEKA BILA TAARIFA KWA WAGONJWA MKOANI KATAVI,WAGONJWA WAHAHA KUPATA MATIBABU,MGANGA MKUU MKOA WA KATAVI ASHIKWA KIGUGUMIZI KUSEMA HALI ILIVYO-Agosti 18,2017

Image
Mh.Anna Lupembe Mbunge viti Maalumu Katavi(PICHA na.Issack Gerald) WAGONJWA ambao wamewasili  Mjini Mpanda wakitokea maeneo mbalimbali Mkoani Katavi kwa lengo la kupimwa na kutibiwa na madaktari bingwa wameeleza kusikitishwa na hatua ya madaktari hao kuondoka ghafla bila kutoa taarifa hatua ambayo imesababisha wagonjwa kupoteza muda na gharama za usafiri.

BARAZA LA MADIWANI MKOANI MARA LAWAADHIBU WATUMISHI WANNE KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA-Agosti 17,2017

Image
Baadhi ya madiwani Mkoani Mara Baraza la Madiwani la Halmashauri ya mji wa Tarime mkoani Mara leo Alhamisi, Agosti 17 limewakuta na hatia na kuwachukulia hatua za kisheria watumishi wanne kwa kutumia vibaya madaraka yao na kuisababishia halmashauri hiyo hasara ya mamilioni ya fedha.

MKURUGENZI MANISPAA YA MPANDA AWATOLEA UVIVU WAKUU WA IDARA WASIOTOA USHIRIKANO KWA WAANDISHI WA HABARI KATIKA KUTOA HABARI-Agosti 17,2017

Image
Mkurugenzi Mtendaji Manispaa ya Mpanda Michael Nzyungu(PICHA NA Issack Gerald) Mkurugenzi wa manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi Maiko nzyungu amewataka wakuu wa idara mbalimbali ndani ya manispaa,kutoweka ugumu katika utoaji wa Taarifa kwani ni kinyume cha Sheria iliyopitishwa na bunge.

JESHI LA POLISI MKOANI KATAVI LAWAPIGA MARUFUKU WAPIGA DEBE KATIKA STENDI ZA MABASI-Agosti 17,2017

Image
JESHI la Polisi kikosi cha usalama barabarani mkoani Katavi,limepiga   marufuku shughuli za upigaji debe katika stendi zote Mkoani Katavi.

SERIKALI MKOANI TABORA YATEKETEZA SHAMBA LA MIHOGO YA MWANANCHI-Agosti 17,2017

Image
Mhogo Serikali ya mkoa wa TABORA imeteketeza shamba la mihogo la mkazi mmoja wa kata ya IPULI mjini TABORA baada ya kushindwa kutii agizo la mkuu wa mkoa wa TABORA la kuondoa mazao yake katika  eneo la Chuo Kikuu cha Askofu Mkuu MIHAYO cha TABORA-AMUCTA.

SERIKALI KUJENGA BENKI TANO ZA DAMU SALAMA KATIKA MIKOA MITANO UKIWEMO MKOA WA KATAVI -Agosti 17,2017

Image
Damu salama baada ya uchangiaji Mkoani Katavi(PICHA NA.Issack Gerald) SERIKALI imesema imepata fedha kwa ajili ya ujenzi wa benki za damu salama katika mikoa mitano hapa nchini ukiwemo Mkoa wa Katavi ili kutatua matatizo ya watanzania yanayotokana na ukosefu wa damu salama inapohitajika kwa wagonjwa.