Posts

Showing posts from November 21, 2015

WAWILI WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI

Na.Issack Gerald-MPANDA WATU Wawili wanaokabiliwa na mashtaka ya kukamatwa na nyara za serikali, wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Mpanda na   kusomewa mashtaka.