Posts

Showing posts from July 9, 2016

MWENGE WA UHURU KUWASILI KESHO MKOANI KATAVI,WANAKATAVI WAASWA KUDUMISHA AMANI

Image
WANANCHI mkoani Katavi wametakiwa kudumisha amani na utulivu katika   kipindi hiki ambacho wanatarajia kupokea mwenge wa uhuru.                                                  

WAZIRI MKUU WA INDIA KUWASILI LEO TANZANIA KUANZA ZIARA,SEKTA ZA VIWANDA,MAJI,ELIMU,SAYANSI NA TECHNOLOJIA KUPEWA KIPAUMBELE

Image
WAZIRI Mkuu wa India, Narendra Modi anawasili leo nchini kwa ajili ya ziara ya kitaifa ya siku mbili kwa lengo la kudumisha ushirikiano katika sekta mbalimbali kati ya nchi hizo mbili. Waziri Mkuu wa India Narendra Modi