Posts

WAKULIMA CHAMA CHA MSINGI NSIMBO WATAKA WALIPWE PESA YAO

Image
Na.Issack Gerald-Katavi-fEBRUARI 1,2017 WAKULIMA wa zao la Tumbaku wa chama cha Msingi cha Ushirika Nsimbo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,wametaka kulipwa malipo ya mauzo ya tumbaku katika msimu wa kilimo mwaka 2015/2016. Baadhi ya mashamba ya wakulima Nsimbo

WAKAZI KITONGOJI CHA KAMINI HALMASHAURI YA NSIMBO WAOMBA OPARESHENI YA KUWAONDOA KATIKA ENEO LA HIFADHI ISITISHWE.

Na.Issack Gerald-Mpanda-Januari 30,2017 WAKAZI wa kitongoji cha Kamini kilichopo kata ya Ugalla wilayani Mpanda Mkoani Katavi,wamwasilisha barua katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wakiomba Oparesheni ya kuwaondoa katika kitongoji hicho isitishwe kwa madai kuwa mipaka kati ya kitongoji hicho na misitu ya hifadhi haikufuata taratibu na mipaka kukosewa.

NSIMBO HAINA WATOTO WA MITAANI INA WAISHIO MAZINGIRA HATARISHI

Na.Issack Gerald-Katavi-Januari 30,2017 Halmashauri ya Wilaya Nsimbo mkoani Katavi imesema kuwa haina watoto ombaomba wa mitaani badala yake ina watoto waishio katika mazingira magumu.

UZINDUZI SHEREHE ZA MIAKA 40 YA CCM ZAFANYIKA KATUMBA,KITUO CHA AFYA KATUMBA DAWA,MAJI BADO TATIZO

Na.Issack Gerald-Katavi-Januari 30,2017 WANACHAMA wa chama cha Mapinduzi CCM mkoani Katavi wametakiwa kuendelea kuwa na umoja,ushirikiano na mshikamano ndani ya chama na katika shughuli za maendeleo ya jamii.

WANAFUNZI WA MAFUNZO YA UFUNDI SHULE YA MSINGI MTAPENDA HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO WAPOKEA VIFAA VYA UFUNDI

Na.Issack Gerald-Katavi-Januari 30,2017 DARASA linaloendesha shughuli mbalimbali za ufundi katika Shule ya Msingi Mtapenda Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi,limekabidhiwa vifaa mbalimbali vya ufundi vikiwemo vifaa vya ujenzi,ufundi seremara   na vyerehani vyenye thamani ya shilingi milioni 1,480,000.

HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO YAOMBA KUIDHINISHIWA SHILINGI BIL.24.9 MWAKA WA FEDHA 2017/2018

Na.Issack Gerald-Nsimbo Katavi HALMASHAURI ya Wilaya ya Nsimbo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,imeomba kuithinishiwa na serikali kuu shilingi Bilioni 24,886 ,569,000.

GEREZA LA KALILANKULUKULU NA TAASISI ZAKE AMBAZO NI SHULE NA ZAHANATI HATARINI,BAADHI YA WAFUNGWA HAWANA SARE,BAADHI YA ASKARI MAGEREZA NAO WALAZIMIKA KUTUMIA PESA ZAO KUSHONA SARE KWA MIAKA 8 SASA,KUTA ZA MAJENGO YA ZAHANATI NAYO KUANGUKA MUDA WOWOTE,VYOO VYA WANAFUNZI NAVYO VYAJAA VYAZIBA BILA HATUA KUCHUKULIWA KIPINDUPINDU KUBISHA HODI.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Tanganyika Katavi GEREZA la Kalilankulukulu lililopo Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi lililoanzishwa mwaka 1973 ,linakabiliwa na matatizo mbalimbali yakiwemo baadhi ya wafungwa wa gereza hilo kukosa sare huku pia baadhi ya asakari wa gereza hilo,wakilazimika kutumia pesa yao kushona sare zao kutokana na serikali kutowapa sare hizo tangu mwaka 2009 licha ya viongozi kadhaa wa wizara,Mkoa hadi Wilaya kuwa na taarifa ya matatizo hayo.   Mwigulu Nchemba waziri wa mambo ya ndani ya Nchi ambaye kwa kiasi kikubwa gereza zipo chini ya wizara yake kama waziri                                                                Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe Naibu waziri wa Nishati na madini(Mbunge wa Jimbo la Katavi)        ...