Posts

KUHUSU KATAVI NA SIKU YA MTOTO WA KIKE DUNIANI LEO OKTOBA 11,2016-P5 TANZANIA INAKUSOGEZEA

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Katavi ZAIDI ya makosa 100 ya unyanyasaji kwa mtoto wa kike yameripotiwa katika kipindi cha miezi 9 iliyopita ikiwa ni pamoja na makosa ya ubakaji,kutupa watoto,kuwapa mimba wanafunzi na kuwaachisha masomo.

BARAZA LA MADIWANI WILAYANI TANGANYIKA LAIOMBA SERIKALI KUKAMILISHA MIRADI VIPORO YA MAENDELEO ILI WANANCHI KUENDELEA KUWA NA IMANI NA SERIKALI.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama –Tanganyika Katavi BARAZA la madiwani Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi,limeiomba serikali kuhakikisha inakamilisha miradi ya maendeleo katika kata mbalimbali ili kuwanufaisha wananchi kiuchumi na kimaendeleo. Madiwani wa Baraza la madiwani wa Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda wakiwa katika kikao(PICHA NA.Issack Gerald) Aliyesimama ni Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda Bw.Hamad Hassan Mapengo(PICHA NA.Issack Gerald)                                                           

SHIRIKA LA UNHCR LAKABIDHI GARI LA SHILINGI MILIONI 150 KWA JESHI LA POLISI WILAYANI TANGANYIKA,WAAHIDI KUTOA MAFUTA NA KULIKARABATI LINAPOHARIBIKA,JESHI LA POLISI KATAVI LAAGIZWA KUIMARISHA USALAMA.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama- Katavi SHIRIKA la Wakimbizi duniani UNHCR limekabidhi gari mpya kwa jeshi la Polisi Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi,ili kurahisisha na kuongeza utendaji kazi wa jeshi hilo katika kuimarisha usalama wa raia na mali zao. Picha ya Pamoja ya Jeshi la Polisi Baada ya UNHCR kukabidhi gari kwa Jeshi La Polisi Wilayani Tanganyika(PICHNA NA.Issack Gerald),wa Kwanza kutoka kulia ni kamanda wa Jeshi Polisi Mkoani Katavi ACP Damasi Nyanda                                

LEO NI SIKU YA MTOTO WA KIKE DUNIANI MAADHIMISHO KITAIF AKUFANYIKA SHINYANGA,MIKOA 21 INAONGOZA KWA MIMBA ZA UTOTONI KINARA NI SHINYANGA KWA ASILIMIA 59.

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama LEO ni siku ya mtoto wa kike duniani ambapo siku hiyo kitaifa inaadhimishwa Mkoani Shinyanga.

WASAFIRI KUTOKA KATAVI,TABORA NA KIGOMA WANAOTUMIA TRENI YA RELI YA KATI KUONGEZEWA BEHEWA KURAHISISHA USAFIRI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama- Katavi SERIKALI imewahakikishia wakazi wa mikoa ya Katavi,Tabora na Kigoma kuwa itaongeza mabehewa ya abiria na mizingo katika treni ya reli ya kati ili kuruhusu abiria wengi kusafiri na kusafirisha   mizigo yao kuwa wasafiri wengi wanatumia usafiri wa treni.                                               

BARAZA LA MADIWANI HALMSHAURI YA WILAYA YA MPANDA KUFANYA KIKAO CHAKE KESHO,SHILINGI MIL.120 ZILIZOTUMIKA KINYUME NA MALENGO,BARAZA LA MADIWANI KUTOA TAMKO

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi BARAZA la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi,kesho linatarajia kufanya kikao chake cha robo ya mwaka kwa mwaka 2016 ambapo masuala mbalimbali yatajadiliwa ikiwemo kutoa   tamko la kubadilishwa matumizi ya Shilingi milioni 120 zilizokuwa zitumike kununulia gari la Mkurugenzi mtendaji wa Halmshauri hiyo ambapo zilitumika kwa ajili ya Masuala ya mitihani. Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda Mh.Hamad Hassan Mapengo(PICHA NA.Issack Gerald)                                                 

SHIRIKA LA UNHCR KESHO KUKABIDHI GARI KWA JESHI LA POLISI MKOANI KATAVI KUSAIDIA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi SHIRIKA la wakimbizi duniani UHNCR Mkoani Katavi,kesho linatarajia kukabidhi gari kwa jeshi la Polisi Mkoani Katavi ili kurahisisha shughuli za ulinzi na usalama za jeshi hilo.