Posts

UKOSEFU WA FEDHA,WAZEE KATAVI WASHINDWA KUHUDHURIA MAADHIMISHO YA KESHO SIKU YA WAZEE DUNIANI YATAKAYOFANYIKA MKOANI MBEYA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo mashama-Katavi UMOJA wa wazee Mkoani Katavi umeshindwa kupeleka wawakilishi katika maadhimisho ya Siku ya wazee Duniani yanayotarajiwa kufanyika kitaifa kesho Mkoani Mbeya. Moja ya mikitano iliyokuwa ikijadili maslahi ya wazee(PICHA NA Issack Gerald )Septemba 2014                                            

MATATIZO MENGI BADO SOKO KUU LA WILAYA YA MPANDA

NA.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Tanganyika Katavi SOKO kuu la Mpanda,mkoani Katavi linakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo msongamano wa wafanyabiashara, mpangilio holela na ukosefu wa taa za kusaidia ulinzi.

MKUU WA WILAYA YA TANGANYIKA AONGOZA HARAMBEE KUWACHANGIA WAATHIRIKA TETEMEKO LA ARDHI KAGERA SHILINGI MIL.4,656,500 ZAPATIKANA.

Image
NA.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Tanganyika Katavi MKUU wa Wlaya ya Tanganyika Bw.Saleh Mbwana Mhando ameongoza harambee ya kuwachangia waathirika wa tetetmeko la ardhi Mkoani Kagera ambapo Shilingi MIL.4,656,500/=zimepatikana ambapo kati ya hizo shilingi MIL.4,416,000/= ni fedha taslimu.                                                                               

MWALIMU WILAYANI MLELE AHUKUMIWA JELA MIAKA 30 KWA KUSABABISHA UJAUZITO KWA MWANAFUNZI WAKE

Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi MAHAKAMA ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi imemhukumu Mwalimu wa Shule ya Msingi Ukingwamizi, Une Thom kutumikia kifungo cha miaka 32 jela.

TANESCO NA UFAFANUZI WA TATIZO LA UMEME MPANDA KATAVI

Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Uchakavu na ubovu wa mitambo ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa katavi ndiyo imeelezwa kuwa ndio chanzo kinachosababisha kutokuwa na umeme wa uhakika. Meneja mahusiano wa

MKUU WA WILAYA YA MPANDA AHAMASISHA HARAMBEE KUWACHANGIA WAATHIRIKA WA TETEMEKO LA ARDHI MKOANI KAGERA

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama- Mpanda Katavi MKUU wa Wilaya ya Mpanda Bi. Lilian Charles Matinga,ametoa wito kwa wakazi wa Wilaya ya Mpanda kujitokeza kwa hiari katika harambee ya kuwachangia wakazi wa Mkoa wa Kagera walioathiriwa wa tetemeko la ardhi Septyemba 10 mwaka huu.

KAMATI TENDAJI MRADI ELIMU JUMUISHI MKOANI KATAVI NA UJUMBE WA UGENI KUTOKA MIKOANI WAFANYA KIKAO KUJADILI MAHITAJI YA WATOTO WENYE ULEMAVU

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Katavi JAMII Mkoani Katavi imetakiwa kushiriki ipasavyo kuwafichua watoto wenye Ulemavu ili wapatiwe elimu kama watoto wengine wasio na ulemavu.