Posts

MKUU WA WILAYA YA TANGANYIKA AKAZA MWENDO KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI KATIKA WILAYA YAKE

Na.Issack Gerald Bathromeo-Tanganyika Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Mh.Saleh Muhando ameahidi kulishughulikia swala la mgogoro wa ardhi katika eneo la Lyamgoroka eneo ambalo linaonekana kuwa limeuzwa na   mwenyekiti wa kijiji hicho    kinyume cha sheria ya ardhi.

WANAUME WATAJWA KUWA MIONGONI MWA SABABU ZINAZOCHANGIA KUONGEZEKA VVU KATAVI

  Na.Richard Sokoni-Mpanda Imebainika kuwa   ongezeko la   maambukizi ya virus vya ukimwi (VVU) kunatokana   na   baadhi ya mwanaume   kutojitokeza kupima afya zao sanjari na wenzi wao .

VIJANA WATII AGIZO LA MKURUGENZI WA MANISPAA KUTOSAFISHA VYOMBO VYA USAFIRI KATIKA VYANZO VYA MAJI

Na.Issack Gerald Bathromeo-Mpanda Vijana na watu waliokuwa wakitumia mto Mpanda eneo la daraja linalotenganisha Kata ya Mpanda Hotel na Misunkumilo kusafisha magari na vyombo vingine vya usafiri,wamesitisha shughuli hiyo kutii agizo la mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda akiwataka kutofanya shughul hiyo kwa lengo la kulinda vyanzo vya maji.

JESHI LA POLISI MKOANI KATAVI WAFANYA MAZOEZI KUPAMBANA NA UHARIFU,WANANCHI MITAANI WAKUMBWA NA TAHARUKI.

Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi JESHI la Polisi Mkoani Katavi limetoa onyo kwa watu watakaosababisha ukosefu wa amani katika Mkoa wa Katavi likisema kuwa halitawafumbia macho watu hao na badala yake Jeshi hilo litachukua hatua kali za kisheria kukomesha vitendo vya uharifu.

TRA RUKWA NA KATAVI YAENDESHA SEMINA KUHUSU MFUMO MPYA ULIPAJI KODI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Mpanda WAFANYABIASAHARA mikoa ya Rukwa na Katavi wametakiwa kutofumbia macho vikwazo vinavyotokana na mfumo mpya wa ulipaji kodi na badala yake watoe taarifa na maoni ili kuangalia kama kuna uwezekano wa kuondoa vikwazo hivyo ili wafanye biashara zao kwa uhuru.                               

YA WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA KAVUU MKOANI KATAVI ISIKUPITE HII HAPA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Rukwa WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua mradi wa ujenzi wa daraja la Kavuu linalojengwa na kampuni ya Nandra Engineering and Construction Ltd ya mkoani Morogoro na kumtaka mkandarasi huyo kulikamilisha haraka. Daraja la Mto Kavuu linalojengwa(Na.Issack Gerald)                                           

WAKURUGENZI WATAKIWA KUWAHAMASISHA WALIMU KUJIENDELEZA KIELIMU

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Rukwa WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakurugenzi wa halmashauri na Maofisa Elimu nchini kutowaondoa katika nyadhifa zao Waratibu wa Elimu Kata na Wakuu wa shule za sekondari wasiokuwa na shahada, walimu wakuu wa shule za msingi wasiokuwa na diploma badala yake wawahamasishe kwenda kusoma.