1.AGIZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza viongozi wa Jeshi la Polisi Tanzania kuwaondoa watumishi wote wasiokuwa askari polisi na ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya ukiukwaji wa taratibu na ufujaji wa fedha za umma ili kulinda heshima, nidhamu na uadilifu ndani ya jeshi hilo.
Leo Mwenge wa uhuru unaanza mbio zake Wilayani Kibondo mkoani Kigoma. Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2016 Bw.George Mbijima(PICHA NA Issack Gerald)
WAENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda mkoani Katavi,wameiomba serikali kuwapatia elimu ya udereva pamoja na kupatiwa mtambo wa kukata reseni za udereva ili kupunguza ajali za barabarani .
WANANCHI wa kijiji cha Kamilala kata ya Katuma tarafa ya Mwese wilayani Tanganyika mkoani Katavi,wameiomba serikali kuingilia kati mgogoro wa shamba lililochukuliwa na mtu moja aliyefahamika kwa jina la Kiyondo zaidi ya ekari 1800 huku wananchi wakiwa hawana maeneo ya kulima .