Posts

CCM ANAYOKABIDHIWA MAGUFULI ILIANZA HIVI

Image
LEO Julai 23,Rais wa awamu ya Tano wa Tanzania Rais Dkt.John Pombe Magufuli anatarajia kupokea uenyekiti wa kukiongoza Chama cha Mapinduzi CCM)

HABARI WIKI HII KUTOKA IKULU YA RAIS

1.AGIZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza viongozi wa Jeshi la Polisi Tanzania kuwaondoa watumishi wote wasiokuwa askari polisi na ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya ukiukwaji wa taratibu na ufujaji wa fedha za umma ili kulinda heshima, nidhamu na uadilifu ndani ya jeshi hilo.

MWENGE WA UHURU KUANZA MBIO ZAKE WILAYANI KIBONDO

Image
Leo Mwenge wa uhuru unaanza mbio zake Wilayani Kibondo mkoani Kigoma. Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2016 Bw.George Mbijima(PICHA NA Issack Gerald)                                 

WAWILI WAJINYONGA WILAYANI MPANDA KATIKA MATUKIO MAWILI TOFAUTI

WATU wawili Mkoani Katavi   wamefariki dunia kwa nyakati tofauti kwa kujinyonga.

MKUU WA WILAYA YA MLELE AJITAMBULISHA KWA WATUMISHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE

MKUU wa wilaya ya mlele mkoani Katavi Bi.Recho Kasanda ametoa agizo kwa watumishi wa wilaya hiyo kufanya kazi wa kuzingatia taratibu na sheria.

BODABODA KATAVI WAOMBA ELIMU YA UDEREVA NA MTAMBO KWA KUKATA LESENI

Image
WAENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda mkoani Katavi,wameiomba serikali kuwapatia elimu ya udereva   pamoja na kupatiwa   mtambo wa kukata reseni za udereva ili kupunguza ajali za barabarani .

EKARI 1800 ZAMILIKIWA NA MWANANCHI MMOJA,WANANCHI WAHAHA MAHALI PA KULIMA WAIOMBA SERIKALI WILAYANI TANGANYIKA KUINGILIA KATI.

WANANCHI wa kijiji cha Kamilala   kata ya Katuma tarafa ya Mwese wilayani Tanganyika   mkoani Katavi,wameiomba serikali kuingilia kati mgogoro wa shamba lililochukuliwa   na mtu moja aliyefahamika kwa jina la Kiyondo zaidi ya ekari 1800 huku wananchi wakiwa hawana maeneo ya kulima .