Posts

POLISI WAKAMATA PEMBE ZA NDOVU 666.

Image
Polisi wa Tanzania wamekamata pembe 666 za ndovu zenye uzani wa tani 1.2 zenye thamani ya shilingi biloni 4.6 pesa za Tanzania sawa na dola milioni 1.2.                            

AHUKUMIWA MIEZI 9 AKIDAIWA KUTOROKA AKIWA CHINI YA ULINZI WA JESHI LA POLISI WILAYANI MPANDA

Image
Mahakama ya mwanzo mjini Mpanda imemhukumu mtu mmoja mkazi wa kata ya Misunkumilo kifungo cha miezi tisa jela kwa kosa la kutoroka akiwa chini ya ulinzi wa askari polisi.                    

WALIMU NA WATENDAJI WA KATA WILAYANI KIBONDO WATAKIWA KUKOMESHA UTORO WA WANAFUNZI

Image
Walimu wa shule za msingi na watendaji wa kata Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma amewataka kuhakikisha kuwa wanafunzi wanaacha utoro na kuhudhuria shuleni bila kukosa. Moja ya shule zilizopo wilayani Kibondo Mkoani Kigoma                                 

MANISPAA YA MPANDA YAANDAMWA ZAIDI NA MAAMBUKIZI YA VVU,KATAVI NAYO NDANI YA MIKOA 10 BORA YENYE VVU NA UKIMWI

Image
Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imeendelea kuwa na maambukizi makubwa ya Virusi vya Ukimwi na kuchangia Mkoa wa Katavi kuendelea kuwa miongoni mwa mikoa 10 ya Tanzania yenye maambukizi hayo.                                             

WAKAZI KATAVI WAENDELEA KUCHAMBUA UTEUZI WAKURUGENZI WAPYA WAWASHAURI WAKURUGENZI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA ‘’HAPA KAZI TU’’ IPASAVYO

Image
Wakazi Mkoani Katavi wamesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uteuzi wa wakurugenzi alioufanya Julai 7 mwaka huu ni mzuri ikiwa walioteuliwa watafanya kazi kwa kuzingatia kiapo cha maadili na utumishi wa umma wanachoapa kabla ya kuanza kazi. Rais Dkt.John Pombe Magufuli                                                   

NEC YAKABIDHI RIPOTI YA TAARIFA YA UCHAGUZI KWA SERIKALI YA MKOA WA KATAVI

Image
Tume ya taifa ya uchaguzi NEC imeikabidhi serikali ya Mkoa wa Katavi ripoti ya taarifa ya uchaguzi wa udiwani,ubunge na urais uliofanyia mwaka jana Oktoba 25.                                             

MWENGE WA UHURU KUWASILI KESHO MKOANI KATAVI,WANAKATAVI WAASWA KUDUMISHA AMANI

Image
WANANCHI mkoani Katavi wametakiwa kudumisha amani na utulivu katika   kipindi hiki ambacho wanatarajia kupokea mwenge wa uhuru.