Posts

WAKAZI KATAVI WAENDELEA KUCHAMBUA UTEUZI WAKURUGENZI WAPYA WAWASHAURI WAKURUGENZI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA ‘’HAPA KAZI TU’’ IPASAVYO

Image
Wakazi Mkoani Katavi wamesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uteuzi wa wakurugenzi alioufanya Julai 7 mwaka huu ni mzuri ikiwa walioteuliwa watafanya kazi kwa kuzingatia kiapo cha maadili na utumishi wa umma wanachoapa kabla ya kuanza kazi. Rais Dkt.John Pombe Magufuli                                                   

NEC YAKABIDHI RIPOTI YA TAARIFA YA UCHAGUZI KWA SERIKALI YA MKOA WA KATAVI

Image
Tume ya taifa ya uchaguzi NEC imeikabidhi serikali ya Mkoa wa Katavi ripoti ya taarifa ya uchaguzi wa udiwani,ubunge na urais uliofanyia mwaka jana Oktoba 25.                                             

MWENGE WA UHURU KUWASILI KESHO MKOANI KATAVI,WANAKATAVI WAASWA KUDUMISHA AMANI

Image
WANANCHI mkoani Katavi wametakiwa kudumisha amani na utulivu katika   kipindi hiki ambacho wanatarajia kupokea mwenge wa uhuru.                                                  

WAZIRI MKUU WA INDIA KUWASILI LEO TANZANIA KUANZA ZIARA,SEKTA ZA VIWANDA,MAJI,ELIMU,SAYANSI NA TECHNOLOJIA KUPEWA KIPAUMBELE

Image
WAZIRI Mkuu wa India, Narendra Modi anawasili leo nchini kwa ajili ya ziara ya kitaifa ya siku mbili kwa lengo la kudumisha ushirikiano katika sekta mbalimbali kati ya nchi hizo mbili. Waziri Mkuu wa India Narendra Modi                

MKOA WA KATAVI WAREJESHA MIL.56 ZA WATUMISHI HEWA

Mkoa wa Katavi umefanikiwa Kurejesha fedha za watumishi hewa kwa asilimia 23.34 ambapo ni   kiasi cha zaidi ya shilingi   milioni 56   kati ya   milioni   zaidi ya 240 zimelipwa kama mishahara hewa.

HUYU NAYE WIKI HII KADAKWA NA MENO MAWILI YA TEMBO WILAYANI MLELE,MWINGINE NAYE AIBA MPUNGA SHAMBANI AKAMATWA NA WANANCHI ACHOMWA MOTO HADI KIFO.

JUNI 14 mwaka huu,Jeshi la Polisi lilimkamata Oscar Pius Mizengo (30) mkazi wa Kitongoji cha Inyagala - Ikuba Kijiji cha Nyakasi kata ya Usevya Tarafa ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi akiwa na meno mawili ya tembo yenye uzito wa kilogramu 32 moja likiwa na urefu wa sentimita 150 na lingine 148 cm ambayo thamani yake ni Tsh 30,000,000/= milioni thelasini sawa na tembo mmoja aliyeuwawa.

WIKI HII MAMA WA WATU JERA MIEZI SITA KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA GONGO

Mahakama ya wilaya mjini Mpanda imemhukumu mtu mmoja kifungo cha miezi sita jera au kulipa faini kiasi cha shilingi laki moja   kwa kosa la kukutwa na pombe haramu.