Posts

MKOA WA KATAVI WAREJESHA MIL.56 ZA WATUMISHI HEWA

Mkoa wa Katavi umefanikiwa Kurejesha fedha za watumishi hewa kwa asilimia 23.34 ambapo ni   kiasi cha zaidi ya shilingi   milioni 56   kati ya   milioni   zaidi ya 240 zimelipwa kama mishahara hewa.

HUYU NAYE WIKI HII KADAKWA NA MENO MAWILI YA TEMBO WILAYANI MLELE,MWINGINE NAYE AIBA MPUNGA SHAMBANI AKAMATWA NA WANANCHI ACHOMWA MOTO HADI KIFO.

JUNI 14 mwaka huu,Jeshi la Polisi lilimkamata Oscar Pius Mizengo (30) mkazi wa Kitongoji cha Inyagala - Ikuba Kijiji cha Nyakasi kata ya Usevya Tarafa ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi akiwa na meno mawili ya tembo yenye uzito wa kilogramu 32 moja likiwa na urefu wa sentimita 150 na lingine 148 cm ambayo thamani yake ni Tsh 30,000,000/= milioni thelasini sawa na tembo mmoja aliyeuwawa.

WIKI HII MAMA WA WATU JERA MIEZI SITA KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA GONGO

Mahakama ya wilaya mjini Mpanda imemhukumu mtu mmoja kifungo cha miezi sita jera au kulipa faini kiasi cha shilingi laki moja   kwa kosa la kukutwa na pombe haramu.

KUHUSU UCHANGIAJI DAMU SALAMA WIKI HII MKOANI KATAVI,SERIKALI YA MKOA YATUPIWA LAWAMA KUTOUNGA MKOANO ZOEZI HILO

Juni 14 wiki hii ilikuwa ni kilele cha Siku ya uchangiaji damu salama kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji huduma ya kuongezewa damu. Miongoni mwa wahitaji wakubwa wa damu ni pamoja na mama wajawazito ,watoto wenye umri chini ya miaka    5 pamoja na wagonjwa mbali mbali wenye uhitaji wa huduma hiyo.

JERA MIEZI 6 MPANDA AKITUHUMIWA KUJIPATIA FEDHA KWA UDANGANYIFU

Mahakama ya mwanzo mjini mpanda imemhukumu mtu mmoja kwenda jera     miezi sita au kulipa faini ya shilingi laki mbili kwa kosa la kujipatia   fedha kwa   njia ya udanganyifu.

KATAVI YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO AFRIKA,NDANI YA MIEZI 6 WATOTO ZAIDI YA 30 WAFANYIWA UKATIRI KATAVI

Mkoa wa Katavi umeadhimisha maadhimisho ya siku ya mtoto wa afrika    ambapo maadhimisho hayo yamefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Kashaulili.

WATANZANIA WAPYA KATUMBA WATAKIWA KUTOKARIBISHA WAGENI KINYUME CHA SHERIA

WATANZANIA waliopewa Uraia katika Makazi ya Katumba Halmashauri ya Nsimbo wilayani Mlele, Mkoani Katavi, wametakiwa kuacha kuwakaribisha watu wanaoingia nchini kinyume cha sheria.