Posts

JERA MIEZI 6 MPANDA AKITUHUMIWA KUJIPATIA FEDHA KWA UDANGANYIFU

Mahakama ya mwanzo mjini mpanda imemhukumu mtu mmoja kwenda jera     miezi sita au kulipa faini ya shilingi laki mbili kwa kosa la kujipatia   fedha kwa   njia ya udanganyifu.

KATAVI YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO AFRIKA,NDANI YA MIEZI 6 WATOTO ZAIDI YA 30 WAFANYIWA UKATIRI KATAVI

Mkoa wa Katavi umeadhimisha maadhimisho ya siku ya mtoto wa afrika    ambapo maadhimisho hayo yamefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Kashaulili.

WATANZANIA WAPYA KATUMBA WATAKIWA KUTOKARIBISHA WAGENI KINYUME CHA SHERIA

WATANZANIA waliopewa Uraia katika Makazi ya Katumba Halmashauri ya Nsimbo wilayani Mlele, Mkoani Katavi, wametakiwa kuacha kuwakaribisha watu wanaoingia nchini kinyume cha sheria.

4 HAMAHAKAMANI KWA KUINGIA MGODINI BILA IDHINI YA MMILIKI

WATU wanne wamefkishwa katika mahakama ya mwanzo mjini mpanda kwa kosa la kuingia mgodini bila idhini ya mmiliki wa mgodi huo.

YALIYOMKUTA ALIYEKAMATWA NA JINO MOJA LA TEMBO MKOANI KATAVI LENYE THAMANI YA SHILINGI MIL.1 HAYA HAPA

MTU mmoja mkazi wa Mgorokani Matandarani wilaya ya   Mlele mkoni Katavi amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Mpanda   kwa makosa mawili tofauti likiwemo la kukutwa na jino 1 la tembo lenye thamani ya shilingi milioni thelasini.

BARABARA YA MPANDA TABORA KUPITIA MTO KOGA YAFUNGULIWA

BARABARA inayoanzia Mpanda hadi Tabora kupitia daraja la mto Koga imefunguliwa na magari kuruhusiwa kutumia barabara hiyo kwa safari.

AHUKUMIWA JERA MIEZI 6 AU FAINI KWA SHAMBULIO LA KUTUMIA MWIKO

MAHAKAMA ya mwanzo mjini Mpanda imemuhukumu mtu mmoja mkazi wa Shanwe   kifungo   cha miezi 6 jera au kulipa faini   ya   shilingi laki mbili.