Posts

WATANZANIA WAPYA KATUMBA WATAKIWA KUTOKARIBISHA WAGENI KINYUME CHA SHERIA

WATANZANIA waliopewa Uraia katika Makazi ya Katumba Halmashauri ya Nsimbo wilayani Mlele, Mkoani Katavi, wametakiwa kuacha kuwakaribisha watu wanaoingia nchini kinyume cha sheria.

4 HAMAHAKAMANI KWA KUINGIA MGODINI BILA IDHINI YA MMILIKI

WATU wanne wamefkishwa katika mahakama ya mwanzo mjini mpanda kwa kosa la kuingia mgodini bila idhini ya mmiliki wa mgodi huo.

YALIYOMKUTA ALIYEKAMATWA NA JINO MOJA LA TEMBO MKOANI KATAVI LENYE THAMANI YA SHILINGI MIL.1 HAYA HAPA

MTU mmoja mkazi wa Mgorokani Matandarani wilaya ya   Mlele mkoni Katavi amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Mpanda   kwa makosa mawili tofauti likiwemo la kukutwa na jino 1 la tembo lenye thamani ya shilingi milioni thelasini.

BARABARA YA MPANDA TABORA KUPITIA MTO KOGA YAFUNGULIWA

BARABARA inayoanzia Mpanda hadi Tabora kupitia daraja la mto Koga imefunguliwa na magari kuruhusiwa kutumia barabara hiyo kwa safari.

AHUKUMIWA JERA MIEZI 6 AU FAINI KWA SHAMBULIO LA KUTUMIA MWIKO

MAHAKAMA ya mwanzo mjini Mpanda imemuhukumu mtu mmoja mkazi wa Shanwe   kifungo   cha miezi 6 jera au kulipa faini   ya   shilingi laki mbili.

WAKAZI KATA YA KAZIMA WALALAMIKIA MANISPAA YA MPANDA KUTOPIMIWA VIWANJA VYAO KWA MIAKA 9 SASA

Wakazi wa kata ya kazima manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameulalamikia uongozi wa   halimashauri hiyo kushindwa kuwapimia viwanja takriban miaka tisa, hali iliyowalazimu baadhi yao kuanza ujenzi wa maeneo hayo bila kupimwa.

LATCU KATAVI WASHAURIWA KUWEKEZA UJENZI WA MAJENGO KUJIIMARISHA KIUCHUMI

MKUU wa mkoa wa Katavi meja generali mstaafu   Raphaeli Muhuga amesema chama kikuu cha ushirika cha   wakulima wa tumbaku LATCU   kinaweza kupata ufanisi zaidi kama kitaendeleza jitihada zake za kuwekeza katika ujenzi wa majengo kama vitega uchumi.