Posts

AHUKUMIWA JERA MIEZI 6 AU FAINI KWA SHAMBULIO LA KUTUMIA MWIKO

MAHAKAMA ya mwanzo mjini Mpanda imemuhukumu mtu mmoja mkazi wa Shanwe   kifungo   cha miezi 6 jera au kulipa faini   ya   shilingi laki mbili.

WAKAZI KATA YA KAZIMA WALALAMIKIA MANISPAA YA MPANDA KUTOPIMIWA VIWANJA VYAO KWA MIAKA 9 SASA

Wakazi wa kata ya kazima manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameulalamikia uongozi wa   halimashauri hiyo kushindwa kuwapimia viwanja takriban miaka tisa, hali iliyowalazimu baadhi yao kuanza ujenzi wa maeneo hayo bila kupimwa.

LATCU KATAVI WASHAURIWA KUWEKEZA UJENZI WA MAJENGO KUJIIMARISHA KIUCHUMI

MKUU wa mkoa wa Katavi meja generali mstaafu   Raphaeli Muhuga amesema chama kikuu cha ushirika cha   wakulima wa tumbaku LATCU   kinaweza kupata ufanisi zaidi kama kitaendeleza jitihada zake za kuwekeza katika ujenzi wa majengo kama vitega uchumi.

TFDA KATAVI YATEKETEZA TANI 2 ZA BIDHAA BANDIA ZENYE THAMANI ZAIDI YA SHILINGI MIL.6

Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini FFDA Kanda ya Magharibi Imeteketeza bidhaa mbalimbali   zisizofaa katika matumizi ya binadamu   zenye thamani ya shilingi Milioni 6 na laki 5 Ambazo ni sawa na tani 2 zilizoingizwa Kinyemela nchini.

MATUKIO YA MAJANGA YA MOTO YAENDELEA KUTIKISA KATAVI

Jumla ya watu watatu kati ya saba waliopatwa na majanga ya moto wamefariki dunia katika matukio sita yaliyotokea yakihusisha majengo na vyombo vya usafiri.

WAISLAMU KATAVI WAJIAANDA MFUNGO WA RAMADHANI,WANAKATAVI WAPEWA NENO

Leo ni siku ya mwisho ya siku ya Shaabani katika dini ya kiislamu ikimaninisha siku ya mwisho kabla ya mfungo wa siku ya ramadhani kuanza hapo kesho.

AHUKUMIWA KIFUNGO CHA NJE MIEZI 6 KWA UBADHIRIFU WA FEDHA

Mahakama ya mwanzo mjini Mpanda imemhukumu mtu mmoja kifungo cha nje miezi sita kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka kwa kutumia fedha bila kufuata utaratibu wa ofisi.