Posts

KILICHOMKUTA MAKAMU MKUU WA SHULE MKOANI KATAVI AKITUHUMIWA KULAWITI WANAFUNZI WAKE

MAKAMU Mkuu wa Shule ya Sekondari Usevya katika Halmashauri ya Mpimbwe wilayani Mlele , Makonda Ng’oka “Membele” (34) amefikishwa katika Mahakama ya mkoa wa Katavi kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wake.

WANUSURIKA KIFUNGO JELA,MIFUGO YAO YATAIFISHWA MKOANI KATAVI

MAHAKAMA ya mkoa wa Katavi imetaifisha ng’ombe 1,312 walioingizwa na kuchunga ndani ya hifadhi ya wanyamapori ya Rukwa huku washtakiwa watatu wakinusurika kutumikia vifungo vya miaka miwili jela baada ya kulipa faini kati ya Sh 500,000 na 700,000.

WALIMU MANISPAA YA MPANDA MKOANI KATAVIWAMEIOMBA SERIKALI KUWAPANDISHA VYEO WANAPOKUWA WAMEKIDHI VIGEZO.

WALIMU wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuwapandisha cheo wanapokuwa wamekidhi vigezo pamoja na kutengenezewa vitambulisho vipya   vya kazi.

WATU 5 WAKIWEMO WATATU WENYE KADI 19 ZA ATM ZA BENKI WANASWA NA JESHI LA POLISI KATAVI

WATU watatu wakazi wa tarafa ya kashaulili wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kukutwa na kadi za ATM 19 za watu tofauti.

WIZI WAENDELEA KULINDIMA MPANDA WAHUSIKA MAHAKAMA YAENDELEA KUFANYA KAZI YAKE KWA WATUHUMIWA

MAHAKAMA ya mwanzo mjini Mpanda mkoani Katavi   inamshikilia   mtu mmoja kwa kosa la wizi wa mfugo wenye thamani ya shilingi elfu arobaini na tano.

VIONGOZI SERIKALI ZA VIJIJI WILAYANI MPANDA WATAKIWA KUTOKIUKA SHERIA ZA UGAWAJI WA ARDHI

VIONGOZI wa serikali za   vijiji wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kutokiuka   utaratibu wa kisheria katika ugawaji wa ardhi kwa wannchi.

MALIASILI KATAVI WATUHUMIWA KUTEKETEZA ZAIDI YAN NYUMBA 40 NA MALI ZA RAIA ZILIZOKUWA NDANI

KAYA zaidi ya 40 zimechomwa moto   na mali zilizokuwa ndani Katika kijiji cha Misanga Kata ya Tongwe Halmashauri ya Tanganyika   na watu wanaosadikika   kuwa ni maliasiri.