Posts

WIZI WAENDELEA KULINDIMA MPANDA WAHUSIKA MAHAKAMA YAENDELEA KUFANYA KAZI YAKE KWA WATUHUMIWA

MAHAKAMA ya mwanzo mjini Mpanda mkoani Katavi   inamshikilia   mtu mmoja kwa kosa la wizi wa mfugo wenye thamani ya shilingi elfu arobaini na tano.

VIONGOZI SERIKALI ZA VIJIJI WILAYANI MPANDA WATAKIWA KUTOKIUKA SHERIA ZA UGAWAJI WA ARDHI

VIONGOZI wa serikali za   vijiji wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kutokiuka   utaratibu wa kisheria katika ugawaji wa ardhi kwa wannchi.

MALIASILI KATAVI WATUHUMIWA KUTEKETEZA ZAIDI YAN NYUMBA 40 NA MALI ZA RAIA ZILIZOKUWA NDANI

KAYA zaidi ya 40 zimechomwa moto   na mali zilizokuwa ndani Katika kijiji cha Misanga Kata ya Tongwe Halmashauri ya Tanganyika   na watu wanaosadikika   kuwa ni maliasiri.

HAKIMU MFAWIDHI MAHAKAMA YA WILAYA MPANDA ATOA WITO KWA WAKAZI MKOANI KATAVI KUEPUKA KUFANYA VITENDO UHARIFU

WANANCHI Mkoani Katavi wametakiwa kutofanya vitendo vya uhalifu ili kuepuka   madhara ambayo yatapelekea   kufungwa endapo   watabainika na makosa.

WANAWAKE WANAOUZA MIILI YAO MPANDA WATAKIWA KUFIKA OFISI YA MKUU WA WILAYA KUPATA MBINU YA UJASILIAMALI KUEPUKA MAZINGIRA HATARISHI WALIYONAYO

WANAWAKE   Wanaofanya biashara ya Kuuza Miili yao   Maarufu kama (Dada poa) Mjini Mpanda   wametakiwa Kufika Katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mpanda ili Wapatiwe Mbinu za Kuunda Vikundi Vitakavyowawezesha Kuinua Uchumi ili kuwawezesha   Kuachana na biashara hiyo.

AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA WIZI WA SIMU MPANDA

MTU mmoja amefikishwa katika mahakama ya Mwanzo Mjini   Mpanda    kwa   Kosa     la wizi wa simu   zenye thamani ya shilingi laki tatu.

SAUTI YA BUNGENI DODOMA KUHUSU MAKAZI MAPYA YA KATUMBA MKOANI KATAVI

Raia wapya wa Tanzania wanaoishi Katika Makazi ya Katumba wanatarajia Kufanya Uchaguzi wa Viongozi wa   Serikali za Mitaa Mwaka huu ikiwa Mandalizi yameanza Kufanyika.