Posts

WATUMISHI HEWA MPAKA SASA MANISPAA YA MPANDA NI SIFURI PIA KUONGEZA MAGARI MAWILI KWA AJILI YA UZOAJI TAKA

Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda imesema mpaka sasa haina mtumishi hewa hata mmoja tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Dk.John Pombe Magufuli aziagize Halmshauri zote nchini kuhakiki watumishi hewa.

MKUU WA MKOA KATAVI ATANGAZA KIYAMA KWA MAJAMBAZI

Image
SERIKALI Mkoani Katavi imesema haitawavumilia watu au mtu atakayehusishwa na Uvunjaji wa amani ikiwemo kuteka magari Kama ilivyoripotiwa Kutokea hivi karibuni.                                                  

MWENYEKITI WA KIJIJI ALIA NA HUJUMA ZA DIWANI,MTENDAJI KUMZUSHIA KUSIMAMISHWA KAZI,YEYE ASEMA AMELETA MABADILIKO MAKUBWA,AJIVUNIA KUTAFUTA ENEO LA UJENZI WA SHULE.

MWENYEKITI wa kijiji cha Muungano Kata ya Ibindi amekanusha kauli iliyotolewa na Diwani Bw: Jastini Shinje   kuwa amesimamishwa na wananchi kuendelea na wadhifa wake katika kijiji hicho.

TAKUKURU YATOA TAKWIMU YA KESI NA MALALAMIKO ILIYOYAPOKEA MWEZI JANUARI HADI MACHI 2016,TAMISEMI WAIBUKA KIDEDEA

Image
Na.Issack Gerald-Katavi Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Katavi imesema kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Machi mwaka huu imepokea malalamiko 22   ya vitendo vya Rushwa.                         

MGANGA MKUU HOSPITALI YA WILAYA YA MPANDA AKANUSHA WAGONJWA NA WAJAWAZITO KULAZIMISHWA KUPIMWA VVU BILA HIARI.

Na.Issack Gerald-Mpanda HOSPITALI YA WILAYA Mganga mkuu Hospitali ya Wilaya ya MpandaDk.Naibu Mkongwa,amekanusha taarifazilizosambaa kuwa wanawalazimisha wagonjwa kupima Virusi vya Ukimwi wanapokuwa wamefika hospitalini hapo kutibiwa.

MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO MTEGONI,APEWA SIKU SABA KUCHUNGUZA MHANDISI MWENYE DHARAU NA JEURI KWA VIONGOZJI WA SERIKALINI NA UBINAFISI WA MATUMIZI YA GARI,UHAKIKI WATUMISHI HEWA NALO LAENDELEA KUMTESA MKURUGENZI

Na.Issack Gerald-Nsimbo Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bw.michael zyungu amepewa siku 7 kuchunguza kazi ya mhandisi aliyetajwa kwa jina mojala Mh. Mbotu anayetuhumiwa kudharau na kuonesha jeuri kwa viongozi wa ngazi za juu serikalini pamoja na ubinafsi katika kutumia mali za Halmashauri likiwemo gari la halmashauri hiyo.

SILAHA 11 KATAVI ZASALIMISHWA WAKATI WA ZOEZI LA UHAKIKI,ZAIDI YA ASILIMIA 60 HAZIJAHAKIKIWA

Na.Issack Gerald-Katavi Jumla ya silaha 11 kati ya 193 zinazomilikiwa kisheria Mkoani Katavi zimesalimishwa huku silaha 76 kati ya hizo 193 zikiwa zimehakikiwa kuanzia Machi 21 hadi Aprili mwaka huu.