Posts

MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO MTEGONI,APEWA SIKU SABA KUCHUNGUZA MHANDISI MWENYE DHARAU NA JEURI KWA VIONGOZJI WA SERIKALINI NA UBINAFISI WA MATUMIZI YA GARI,UHAKIKI WATUMISHI HEWA NALO LAENDELEA KUMTESA MKURUGENZI

Na.Issack Gerald-Nsimbo Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bw.michael zyungu amepewa siku 7 kuchunguza kazi ya mhandisi aliyetajwa kwa jina mojala Mh. Mbotu anayetuhumiwa kudharau na kuonesha jeuri kwa viongozi wa ngazi za juu serikalini pamoja na ubinafsi katika kutumia mali za Halmashauri likiwemo gari la halmashauri hiyo.

SILAHA 11 KATAVI ZASALIMISHWA WAKATI WA ZOEZI LA UHAKIKI,ZAIDI YA ASILIMIA 60 HAZIJAHAKIKIWA

Na.Issack Gerald-Katavi Jumla ya silaha 11 kati ya 193 zinazomilikiwa kisheria Mkoani Katavi zimesalimishwa huku silaha 76 kati ya hizo 193 zikiwa zimehakikiwa kuanzia Machi 21 hadi Aprili mwaka huu.

WAFANYABIASHARA WAIOMBA SERIKALI KUPANGA KODI NA FAINI INAYOENDANA NA BIASHARA ZAO

Wafanyabiasha wa mazao ya chakula   Mkoani Katavi wameiomba serikali kupanga kodi na faini kulingana na biashara   zao .

RAIS MAGUFULI A ATENGUA UTEUZI WA NDERUMAKI

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali (TSN) Bw. Gabriel Nderumaki.                                  

WAFANYABIASHARA MPANDA WAPEWA SIKU 21 KUHAMA MAENEO YASIYO RASMI KIBIASHARA

MKUU wa wilaya ya Mpanda Mh Paza Mwalima ametoa siku 21 kwa wafanyabishara wote wanaofanya shughuli za kiabiashara katika maeneo yasiyo rasimi kuondoka malamoja.

MKUU WA WIALAYA YA MPANDA AAGIZA ARDHI YA HEKTA 45 ILIYOUZWA NA UONGOZI WA KIJIJI KINYUME CHA SHERIA KWA MWEKEZAJI KUREJESHWA KWA WANANCHI

KATIKA kutatua Migogoro ya aridhi nchini Serikali Wilayani Mpanda imeagiza kurejeshwa kwa wananchi Mara Moja kwa eneo la hekta 45 liliuzwa kinyume cha taratibu kwa mwekezaji Katika Kijiji cha Magamba.

MAHAKAMA YA WILAYA YA MPANDA YAFUTA HATI YA MASHTAKA YA WATU WAWLI KATI YA WATATU WALIOKUWA WAKITUHUMIWA KUIBA PIKIPIKI YENYE THAMANI YA SH.MIL.1.8

MAHAKAMA ya mwanzo mjini mpanda imefuta hati ya mashta ya watu wawili kati ya watatu waliokuwa wanakabiliwa na tuhuma za wizi wa pikipiki yenye thamani ya shingi milioni moja na laki nane.