Posts

KAMANDA KIDAVASHARI ATOA KAULI KUHUSU WANAOJIHUSISHA NA VITENDO VYA UHARIFU MSIMU WA SIKUKUU YA PASAKA

Na.Issack Gerald-Katavi JESHI la Polisi Mkoani Katavi limetoa onyo kwa kikundi au mtu yeyote atakayesababisha vitendo vya furugu, fujo ama vitisho vinavyosababisha uvunjifu wa amani katika kipindi chote cha kusheherekea sikukuuu ya pasaka.

DIWANI AWAMWAGIA SIFA WANANCHI WAKE USHIRIKI WA SHGHULI ZA MAENDELEO.

Na.Alinanuswe Edward WAKAZI wakata ya makanyagio manispaa ya Mpanda wameonyesha mwamko wa ushiriki katika shughuri za maendeleo kupitia utekelezaji wa mpango wa elimu bure.

DAKTARI ANAYETUHUMIWA KUSABABISHA KIFO CHA MWANANCHI KATAVI KWA KUTOMHUDUMIA AJIFUNGUA MTOTO.

DAKTARI wa zahanati ya Kapalamsenga wilayani Mpanda, anayetuhumiwa na wakazi wa kijiji hicho kusababisha kifo cha   Bi.Ana Kilangi (49) kwa kugoma kumhudumia, amejifungua salama.

WIKI YA MAJI KATAVI,WANANCHI WATAKA MAADHIMISHO YATUMIKE KUWALETEA MAJI SAFI NA SALAMA.

Na.Issack Gerald-Katavi BAADHI ya Wakazi wa Manispaa ya Mpanda wameiomba Serikali kutatua changamoto ya maji inayowakabili katika maeneo yao.

RPC KATAVI ATAKA SILAHA ZISALIMISHWE

Na.Issack Gerald-Katavi Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limewataka wananchi wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha mara moja silaha hizo katika vituo vya Polisi vilivyopo karibu na makazi yao.

WANANCHI WILAYANI MPANDA WALIOMBA JESHI KATAVI KUONGEZA KASI YA KUZUNGUKIA MITAA KUIMARISHA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO.

Na.Issack Gerald-Katavi Jeshi la Polisi Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,limeombwa kupita mara kwa mara katika mitaa ambayo wamekuwa hawapiti mara kadhaa ili kuimarisha usalama na kukomesha udokozi wa mali za raia unaoendelea.

WAWILI WAKAMATWA WAKITUHUMIWA KUIBA MTOTO WILAYANI MPANDA

Na.Vumilia Abel SERIKALI   ya kijiji cha Ikaka kata ya Mnyagala Wilayani Mpanda mkoani katavi kimewakamata watu wawili wanaofahamika kwa majina ya Edefance John na Januari Kisulo wote wakazi wa kijiji cha   Isengule kata ya Ikola   kwa tuhuma za wizi wa mtoto mwenyeumri wa miaka 13.