Posts

MKOA WA KATAVI WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA ARDHI.

Na.Issack Gerald-Katavi MKOA wa Katavi umeshauriwa kumaliza migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji na katika maeneo ya makazi na hifadhi. Ushauri huo umetolewa jana na Waziri mkuu mstaafu Mh, Mizengo Pinda katika kikao cha Kamati ya ushauri ya mkoa kilichofanyika katika ukumbi wa idara ya maji mjini Mpanda.

MKUU WA WILAYA YA MPANDA AINGILIA KATI MGOGORO WA TENDA YA WAJASILIAMALI KUHUSU UTENGENEZAJI WA MADAWATI.

Na.Issack Gerald-Katavi Umoja wa wajasiliamali Pasifiki waliopo mtaa wa majengo kata ya Kashaulili   umeilalamikia Manispaa ya Mpanda kwa kutoa tenda kwa mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Sailoni Mwagama ambaye ni mjasiliamali wa eneo hilo tofauti na ilivyokuwa awali kuwa wajasiliamali hao wangepata tenda hiyo kwa pamoja kama ilivyokuwa imetangazwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Bw.Pazza Mwamlima.

SERIKALI YA MKOA WA KATAVI YAKATAA WAKANDARASI WASIOFUATA MASHARTI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI.

Image
Na.Issack Gerald-Katavi SERIKALI Mkoni Katavi imesema haitakubali Kuingia Mikataba ya Ujenzi wa Miradi mbalimbali ikiwemo   barabara   na wakandarasi   wanaoshindwa Kufuata Masharti   ya Utekelezaji wa Miradi hiyo.                                                 

KUHUSU MADARASA YA WANAFUNZI WENYE WALEMAVU SHULE YA ,MSNGI AZIMIO,SASA SARAKASI TUPU KATI YA MANISPAA YA MPANDA NA MKANDARASI

Na.Issack Gerald-Mpanda Kamati ya shule ya msingi Azimio katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,imezuia malipo ya shilingi Milioni tano (5,000,000) kwa mkandarasi anayefahamika kwa jina la Paul Luguyashi ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mwandoya Investment aliyejenga madarasa mawili ya watoto wenye ulemavu katika shule hiyo kwa madai kuwa sehemu ya majengo hao aliyoambiwa kufanya marekebisho ya majengo hayo hakutekeleza.

WABUNGE VITI MAALUM MPANDA WATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA MPANDA,WATOA MSAADA WAAHIDI MAKUBWA.

Na.Meshack Ngumba-Mpanda SERIKALI imeshauriwa kufanyia kazi changamoto zilizopo katika hospitali ya wilaya ya Mpanda ili kuwawezesha wananchi kupata huduma bora za afya.

SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 1.6 VYUO VYA UALIMU

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga kiasi cha sh. bilioni 1.65/- kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo kwenye vyuo vya walimu hapa nchini.

JIPU KUBWA MPANDA KATAVI LATUMBULIWA,WATUMISHI 16 NJE,TUME KUANZA KAZI YAKE WATAKAOBAINIKA SHERIA ZANOLEWA YUMO NA MWANASHERIA WA MANISPAA YA MPANDA.

Na.Issack Gerald-Mpanda BALAZA la Madiwani Katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi ,limewasimamisha kazi watumishi 16 wa Manispaa hiyo kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo utumiaji ovyo wa fedha za manunuzi ya gari la kuzoa taka pamoja na ubadhilifu wa fedha ya skimu ya umwagiliaji maji ya kakese.