KUJENGWA MAHAKAMA KATIKA MAKAZI MAPYA YA KATUMBA NA MISHAMO KATAVI KWAPUNGUZA UHARIFU
Na.Issack Gerald-Mpanda Kujengwa kwa mahakama ya mwanzo katika eneo la makazi ya Mishamo na Katumba kumepunguza kiwango cha uharifu ambao umekuwa ujitokeza katika makazi hayo.