Posts

MBUNGE JIMBO LA NKASI KUSINI ATAKA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA JIMBONI KWAKE,SERIKALI YAMJIBU

Image
Na.Issack Gerald-Dodoma kuhusu (Rukwa) SERIKALI imesema mwaka wa fedha 2015/2016 ilitenga Shillingi million 300 kwa ajili matengenezo na ujenzi wa Barabara ya Kitosi- Wampembe katika Wilaya ya Nkasi Mkoa wa Rukwa kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) ili kufanya Barabara hiyo iweze kupitika katika kipindi chote cha mwaka.                                              

MBUNGE JIMBO LA MPANDA MJINI ATAKA UJENZI CHUO KIKUU CHA KILIMO CHA KATAVI UKAMILIKE

Image
Na.Issack Gerald-Dodoma Mbunge wa Mpanda Mjini Mheshimiwa Sebastian Kapufi ameiomba Serikali kuweka nguvu yake katika ujenzi wa chuo kikuu cha kilimo kinachotarajiwa Mjini Mpanda kwa ajiri ya Kuongeza ajira kwa wakazi wa Mkoa wa Katavi na Mioko mingine.                                                        Bungeni Dodoma                                                  Mbunge wa Mpanda Mjini Mheshimiwa Sebastian Kapufi akiwa na watoto katika Familia yake kabla ya kwenda bungeni wiki iliyopita

ZAIDI YA BILIONI 26 NA BILIONI 43 ZAIDHINISHWA NA BALAZA LA MADIWANI NSIMBO KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO MWAKA WA FEDHA 2016/2017

Na.Agness Mnubi-Nsimbo. HALMASHAURI ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi imeidhinisha kiasi cha shilingi billion 26,043,182,000 ( Bilioni 26 milioni 43 na mia moja themanini na mbili elfu )   kwa ajili ya kutekeleza MIRADI mbalimbali iliyopangwa kufanyika katika Halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

WAWILI WAJERUHIWA,YUMO MAMA ALIYEJERUHIWA KWA KUCOMWA KISU KWENYE TITI.

Na.Issack Gerald-Mpanda Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Zuhura Salum(34), mkazi wa Majengo alijeruliwa kwa kuchomwa na kisu kwenye titi la kulia na Iddy Saleh(24), mkazi wa majengo na kumsababishia maumivu makali.

MRATIBU ELIMU KATA WILAYANI MPANDA AUA SABABU WIVU WA MAPENZI ASHIKILIWA NA POLISI KATAVI.

Na.Issack Gerald-Mpanda Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Gidison Visent(32), mkazi wa Katuma aliuawa kwa kuchomwa na kisu kifuani na Mohamed Muna (59) mratibu elimu Kata mkazi wa Katuma.

ZAIDI YA WALIMU 3 WAFUNDISHA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU KATIKA UBAO MMOJA,DARASA MOJA WAKATI MMOJA MANISPAA YA MPANDA

Na.Issack Gerald-Mpanda ZAIDI ya walimu watatu wamekuwa wakifundisha wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya msingi Azimio katika darasa moja na ubao mmoja kwa darasa la kwanza hadi la saba kwa miaka saba sasa.

JAMII KATAVI YATAKIWA KUTAMBUA HAKI YA ELIMU KWA WATOTO WENYE ULEMAVU

Na.Issack Gerald-Mpanda JAMII wilayani Mpanda Mkoani Katavi   imetakiwa kutambua haki ya elimu kwa watoto wenye ulemavu kwa kuwaandikisha katika shule zinazotoa elimu maalumu kwa watoto walemavu.