Posts

JAMII KATAVI YATAKIWA KUTAMBUA HAKI YA ELIMU KWA WATOTO WENYE ULEMAVU

Na.Issack Gerald-Mpanda JAMII wilayani Mpanda Mkoani Katavi   imetakiwa kutambua haki ya elimu kwa watoto wenye ulemavu kwa kuwaandikisha katika shule zinazotoa elimu maalumu kwa watoto walemavu.

HAKIMU MAHAKAMAYA WILAYA YA MPANDA ATOA NENO KWA WANAKATAVI KUHUSU SIKU YA SHERIA FEBRUARI 4,2016.

Na.Issack Gerald-Mpanda WAKAZI wa Mkoa wa Katavi wameaswa kuyatumia vizuri maadhimisho ya siku ya sheria nchini, kupata elimu inayotolewa na wadau wa sheria ili kuelewa haki na wajibu wa raia.

KESI YA KUVUNJA DUKA YAENDELEA KULINDIMA MPANDA,HAKIMU ATUPILIA MBALI OMBI LA MSHTAKIWA

Na.Issack Gerald-Mpanda KESI ya kuvunja duka na kuiba nguo zenye thamani ya shilingi milioni moja na laki nne na elfu arobaini, inayomkabili Bw. Reuben Remmy mkazi wa Makanyagio,mwishoni mwa wiki ya Januari,imeendelea kusikilizwa katika mahakama ya Mwanzo mjini Mpanda.

AFIKISHWA MAHAKAMANI MPANDA KWA TUHUMA ZA UHARIBIFU WA MALI,YUMO PIA ALIYETISHIA KUUWA KWA MANENO

Na.Boniface Mpagape-Mpanda MTU mmoja mkazi wa Kapalangeo-kazima katika manispaa ya Mpanda Bw. Joseph Saleh kajunja amefikishwa katika mahakama ya mwanzo mjini Mpanda akikabiliwa na shtaka la kuharibu mali.

ASKARI POLISI KATAVI APIGWA RISASI YA TUMBONI AFA PAPOHAPO ENEO LA TUKIO- P5 TANZANIA INAKULETEA UNDANI ZAIDI

Na.Issack Gerald-Mpanda Askari wa jeshi la polisi Mkoani Katavi H305PC Nobert Stanslaus Chacha amekufa baada ya kupigwa risasi maeneo ya Kapanda juu kata ya Machimboni Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda.

BIL.31 ZAPITISHWA NA BALAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

Na.Lutakilwa Lutobeka-Mpanda Jumla ya madiwani 20 katika halimashauri ya wilaya ya Mpanda wamepitisha bajeti ya shilingi bilioni 31 ya mwaka 2016/2017 iliyopendekezwa na halmashauri hiyo.

TAARIFA KAMILI YA POLISI KUHUSU WATU KUFA MAJI KATAVI BAADA YA GARI KUSOMBWA NA MAJI HII HAPA,POLISI WASUBIRI MIILI IELEE NDIPO IOKOLEWE

Na.Issack Gerald- Katavi Miili mitano ya watu walikufa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji katika Mto Koga uliopo mpakani mwa Mkoa wa Katavi na Tabora imepatikana huku miili mingine mitano ikiwa hajajulikana ilipo.