Posts

WAZIRI MKUU MAJALIWA ASEMA TANZANIA ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA RWANDA

Na.Issack Gerald WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Rwanda nchini, Eugene Kayihura. Ambapo amemuahidi kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na Rwanda.

WAWILI MANISPAA YA MAPANDA WAFIKISHWA MAHAKAMANI MPANDA WAKITHUMIWA KUIBA NAKUPORA MALI ZENYET THAMANI KARIBU MIL.2.

Na.Boniface Mpagape-MPANDA MKAZI wa Makanyagio katika Manispaa ya Mpanda, Bw. Reuben Remi amefikishwa katika mahakama ya mwanzo mjini Mpanda akikabiliwa na shtaka la kuvunja duka na kuiba nguo zenye thamani ya shilingi milioni moja na laki nne na elfu arobaini.

MABALAZA YA MADIWANI MPANDA KUANZA VIKAO VYAKE LEO

Image
Na.Issack Gerald-Mpanda Balaza la madiwani Manispaa ya Mpanda leo linatarajia kuanza vikao vyake kujadili masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya wananchi.                                              Moja ya mambo yanayoifanya Mpanda kupewa Manispaa ya Mpanda

BABA NA MAMA WA KAMBO WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA MAKOSA YA MANYANYASO NA KUMNYIMA CHAKULA MTOTO WAO

Na.Issack Gerald-KATAVI Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ramadhani Charles (40) Mkazi wa Kasimba anashikiliwa na jeshi la Polisi Mkoani Katavi kwa kosa la kumnyanyasa mtoto wake anayeitwa Adam Ramadhani (17) ambaye ni mwanafunzi wa shule ya Sekondari Kashaulili sambamba na kumnyima mambo mengine ya msingi kama chakula.

WAZIRI MKUU AKUTANA NA MABALOZI WAWILI NCHI TOFAUTI-P5 TANZANIA MEDIA INAKUJUZA

Na.Issack Gerald WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amekuatana na kufanya mazungumzo na mabalozi wawili kutoka nchi za Qatar na Kuwait.

MAFURIKO YA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI NSEMULWA MANISPAA YA MPANDA

Na.Issack Gerald-MPANDA Shule ya Msingi Nsemulwa iliyopo kata ya Nsemulwa Manispaa ya Mpanda,mpaka sasa imesajili   Jumla ya wanafunzi   513 wa darasa la kwanza na Chekechea na hatimaye kukabiliwa na changamoto ya upungufu wa madarasa,madawati na matundu ya vyoo.

JAMII MWANZA YATAKIWA KUTAWANYANYAPAA WAATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA

Na.Issack Gerald-Mwanza. Jamii nchini imetakiwa kutowanyanyapaa waathirika wa dawa kulevya badala yake iwasaidie kuondokana na matumizi ya dawa hizo ikiwemo kuwafikisha katika vituo vya utimamu wa akili (Sobar House).