Posts

KAMANDA WA POLISI RUKWA AZUNGUMZIA HALI YA USALAMA SIKUKUU ZA KRISMASI NA MWAKA MPYA,ASEMA MATUKIO MAKUU MAWILI YALITIKISA MWAKA 2015

Image
Na.Issack Gerald-SUMBAWANGA Jeshi la Polisi Mkoani Rukwa limesema kuwa,hakuna matukio matukio ya uharifu yaliyotokea katika kipindi chote cha msimu wa sikukuu za kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016.                                                          Ramani inayoonesha mahali Mkoa wa Rukwa unapopatikana pia maeneo yanayopakana na mkoa huo yanaonekana

VIONGOZI MKOANI GEITA WATAKIWA KUTOWAONEA AIBU WAFANYABIASHARA WASIOFUATA KANUNI ZA USAFI ILI KUPAMBANA NA KIPINDUPINDU

Na.Issack Gerald-Geita Viongozi wa Mkoa wa Geita wametakiwa wasiwaonee aibu kuwafungia wafanyabiashara wasiofuata kanuni za usafi wa mazingira na hivyo kupelekea mlipuko wa kipindupindu.

SIKU YA PILI ZIARA YA WAZIRI MKUU, AKAGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

Image
Na.Issack Gerald-Ruvuma Chanzo cha habari :Ofisi ya mawasiliano ya Waziri Mkuu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua jengo la Makao Makuu ya Halmashauri ya Wialaya ya Songea lilipo katika kijiji cha Lundusi, Wilaya ya Peramiho mkoani Ruvuma.                                                                        Makao makuu ya Halmashauri aya Wilaya ya Songea

JELA SIKU 14,KWA KUMCHANACHANA KWA NYEMBE MTOTO WAKE WA MIAKA 6

Na.Issack Gerald-MPANDA Mahakama ya Mwanzo mjini Mpanda imemhukumu Bi. Agnes George (30) mkazi wa Kawajense mjini Mpanda kwenda jela kwa siku kumi na nne,   baada ya kupatikana na hatia ya kumkatakata kwa nyembe nyuma ya viganja mtoto wake mwenye umri wa miaka sita, akimtuhumu kuiba fedha.

MLELE NAKO MAUJI KAMA MPANDA,MMOJA AUAWA,WAUAJI WATOKOMEA POLISI MSHIKEMSHIKE KUWASAKA WAUAJI

Na.Issack Mlele-Katavi Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Chalya Kichosha(60) mkazi wa mkazi wa kijiji cha Ibindi alikutwa akiwa ameuawa na watu wasiojulikana kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu za kichwani na shingoni .

WAWILI MPANDA WAUAWA,WAUAJI WATOKOMEA KUSIKOJULIKANA NAO POLISI WASEMA HAPA KAZI TU

Na.Issack Gerald-MPANDA Watu wawili wamekutwa wakiwa wameuawa na watu wasiojulikana Wilayani Mpanda Mkoani Katavi baada ya kukatwa na vitu vyenye ncha kali Januari Mosi Mwaka huu.

WAZIRI MKUU AELEZA AFURAHISHWA NA HALI YA CHAKULA MKOANI RUVUMA

Image
Na.Issack Gerald. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefurahishwa na hali ya chakula mkoani Ruvuma, ikiwa kati ya mikoa inayotegemewa kwa uzalishaji wa chakula kwa wingi nchini.                                                     Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary   (kushoto kwake )  wakielekea kwenye Chumba cha mapumziko baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea na kupokelewa na wanachi na viongozi wa mkoa huo Januari 3, 2016.  Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma , Thabiti Mwambungu na kushoto ni Mbunge wa Songea Leonidas Gama. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu