Posts

WAWILI WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI

Na.Issack Gerald-MPANDA WATU Wawili wanaokabiliwa na mashtaka ya kukamatwa na nyara za serikali, wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Mpanda na   kusomewa mashtaka.  

MGOGORO WA WAFANYABIASAHARA WA MATUNDA SOKO LA MPANDA HOTEL WAMALIZIKA

Na.Issack Gerald-MPANDA Wafanyabiasahara wa matunda katika soko la Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda,wamewapongeza viongozi wa Manispaa,madiwani , maafisa masoko na Bibi afya   kwa kuwaruhusu kuuza matunda yao katika eneo wanalolitaka baada ya kufanya usafi wa kuridhisha.

WAZIRI MKUU KASSIMU MAJALIWA NI NANI?SOMA HAPA

Image
  Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa Waziri Mkuu mteule wa Tanzania, Kassim Majaliwa, alizaliwa Disemba 22, 1960 Wilayani Ruangwa Mkoani Lindi.

MAJALIWA KASSIMU MAJALIWA WAZIRI MKUU WA 11 TANZANIA TANGU UHURU WA TANGANYIKA

Image
  Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa katika kikao cha kwanza katika mkutano wa kwanza wa bunge la 11 kumchagua Waziri mkuu wa Tanzania na Naibu Spika Na.Mwandishi wetu-DODOMA Mbunge wa Ruangwa Majaliwa Kassim Majaliwa ameidhinishwa na Bunge la Tanzania kuwa waziri mkuu mpya wa Tanzania.

MANISPAA YA MPANDA KUFANYA TAFRIJA KESHO KUWAPONGEZA WALIMU KWA KUFAULISHA WANAFUNZI DARASA LA SABA NA KUWA NAMBA MOJA KITAIFA

Na.Issack Gerald-Mpanda Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani katavi inatarajia kufanya tafrija ya kuwapongeza walimu kwa matokeo mazuri ya darasa la saba yaliyopelekea Manispaa ya Mpanda kushika nafasi ya kwanza kitaifa 2015.

KUUWAWA BODABODA KATAVI,KWAWAAMSHA POLISI KATAVI,WAAMUA KUITISHA MKUTANO WA BODABODA

Na.Issack Gerald-MPANDA Kufuatia kukithiri kwa vitendo vya mauaji ya waendesha pikipiki Mkoani Katavi,Mkuu wa usalama barabarani ameitisha kikao kinachotarajia kufanyika kesho kujadili kwa kina suala hilo.

WAFANYABIASHARA WA MATUNDA SOKO LA MPANDA HOTELI WANAOUZIA CHINI WAGOMA KUOANDOKA

Na.Issack Gerald-Mpanda Wafanyabiashara wa bidhaa katika soko la Mpanda hoteil lililopo halmashauri ya mji Mpanda wamegomea agizo lililotolewa na Mwenyekiti wa soko hilo bwana Boniphace Mganyasi la kutaka kuhamisha bidhaa zao chini na kupeleka katika vichanja vya ndani.