Posts

WAKAZI KATAVI WAHIMIZWA USAFI

Na.Issack Gerald-MPANDA. Wananchi Mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia usafi wa Mwili Mazingira na Vyakula ili kujikinga na Maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu.

SPIKA BUNGE LA TANZANIA KUCHAGULIWA KESHO,SITTA NJE KINYANG'ANYIRO

Image
  Jengo la Bunge Mjini Dodoma Na.Mwandishi wetu-DODOMA Wabunge wateule wa bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanatarajia kumchagua Spika wa Bunge hilo kesho Mjini Dodoma.

KATA YA SITALIKE KUKUSANYA MAPATO KUTOKA MIGODINI NA HIFADHINI

Na.Issack Gerald-NSIMBO UONGOZI wa Kata ya Sitalike wilayani Nsimbo mkoani Katavi, unatarajia kukusanya mapato kutoka kwa wawekezaji wa migodi pamoja na hifadhi ya taifa ili kuchangia maendeleo ya kata hiyo.

HALMASSHAURI YA MJI NJOMBE YAWAONYA WALIMU WAKUU WATAKAOFELISHA WANAFUNZI

Na.Mwandishi wetu-NJOMBE Halmashauri ya mji wa njombe imesema itaendelea kutoa adhabu za kuwa vua vyeo walimu wakuu ambao shule zao zinafelisha wananfunzi kuufikia wastani waliojiwekea ili kukuhakikisha halmashauri hiyo inangara kielimu kwa kufikia ufaulu wa juu.

UKEKETAJI WA WANAWAKE WAPUNGUA LOLIONDO ARUSHA

Image
  Pichani ni mjumuiko wa wakunga wa Jadi, Waganga wa tiba asili, viongozi wa dini, waandishi wa habari na wahamasishaji afya jamii wanaohudhuria warsha hiyo inayoendelea wilayani Ngorongoro. Washiriki wa warsha hiyo wakiwa kwenye kazi za vikundi. Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ambaye pia ni Afisa Maendeleo ya Jamii, Teresia Irafay akifungua warsha ya wiki moja ya mafunzo juu ya elimu ya Afya ya Uzazi na Maadili iliyojumuisha wakunga wa Jadi, Waganga wa tiba asili, viongozi wa dini, waandishi wa habari na wahamasishaji afya jamii iliyowaleta pamoja wadau mbalimbali katika ngazi ya vitongoji, vijiji na wilaya kujifunza namna ya kufanya kazi shirikishi ili kuleta mabadiliko katika jamii inayofanyika katika hoteli ya Domel-Wasso, tarafa ya Lolilondo katika wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. Na.Mwandisi waetu-ARUSHA IDADI ya wanawake wanaokeketwa Loliondo wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha,imepungua kufikia asilim...

WABUNGE WATEULE WA BUNGE LA TANZANIA KUANZA KUSAJILIWA LEO

Image
  Baadhi ya wabunge la Tanzania wakiangalia mandhali ukumbi  bungeni Mjini Dodoma Na.Mwandishi wetu-DODOMA Wabunge wateule wa bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanatarajia kujisajili leo tayari kwa vikao muhimu vya kwanza vya Bunge wiki ijayo.

WATANZANIA WAISHIO NCHINI THAILANDA WACHAGUA VIONGOZI WAO

Image
  Watanzania waishio mjini Bangkok nchini Thailand wakipata chakula baada ya kufanya uchaguzi Na.Mwandishi.BANGKOK Jumuiya ya watanzania waishio nchini Thailand (TIT) imekutana na kujadiliana mambo mbalimbali ya jinsi gani wanaweza kusaidiana katika mambo mbalimbali.